Natafuta Viwanja vya kununua

Natafuta Viwanja vya kununua

Natafuta kiwanja kuanzia 20 kwa 20,Kiluvya Kibaha na Dodoma Mjini.
Unatafuta kiwanja au viwanja 20? Je kwa Dodoma unataka SURVAYED au UNSURVEYED? MJINI KAMA MAJENGO,AREA C,BAHIROAD, MLIMWA C,SWASWA,NZUGUNI,NKUHUNGU Nk WEKA WAZI na je unahitaji kuanzia Bei gani ya manunuzi
 
Kiwanja kimepimwa, ni 25x27 (675 sqm) kinauzwa tshs 5.5m kipo eneo la Sofu kibaha. Kwa anayehitaji tuwasiliane kwa 0717250805
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom