bongo bhana si ukanunue vyako ufanye biashara. ustarajie vitu used vikakuacha salama tuna umaskini sana hadi vifaa vya kuanzia biashara tunasubiri vilivyotumika. kwan ukitenga 1m yako hujapata vyombo vya kisasa vya kutengenezea na kupikia chipsi? hizi biashara zina mambo meng heb jitahdi uwe na vitu vipya utakuja kushuhudia haapahapa