Hiyo itakuwa ghali sana kuliko VX/GX za serikalini (used). Kwa nini usiulize lini serikali itapiga mnada magari yake yaliyotumika vya kutosha? Huenda ukapatahata kwa 2m lol!
Jaribu kutembelea www.tradecarview.com na www.gariyangu.com utapata unachokitaka na maelezo yote
ikishindikana ku-import basi ingia kwenye yard za magari town ambazo mimi huwa nayaita expensive used cars.
Jaribu kutembelea www.tradecarview.com na www.gariyangu.com utapata unachokitaka na maelezo yote
ikishindikana ku-import basi ingia kwenye yard za magari town ambazo mimi huwa nayaita expensive used cars.