NATAFUTA TOYOTA ist

NATAFUTA TOYOTA ist

mpanga liganga

Senior Member
Joined
May 16, 2014
Posts
191
Reaction score
417
isuwe nyeupe, iwenamwonekano mzr isiyo funguliwa engine naisiyo vuja oil kwenye engine,
Mwenye nayo tafadhari.
 
kwa hivyo vigezo tu! you seems to be having a very small budget.

kama una milioni nane ni PM nikupe gari ya ukweli
 
Ninayo ya 2003,ina km 110000,silver mil 9 na inavigezo ulivyosema

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
IMG_00000316.jpg IMG_00000316.jpg IMG_00000314.jpg IMG_00000316.jpg IMG_00000316.jpg IMG_00000316.jpg hiyo hapo, M8.5
 
Njoo nikuuZie ya dark blue nimenunua december km 56000, ina comprehensive insurance haijaguswa ingine wala kukwaruzw body namba ni csn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom