kiongoz, ni kheri kuwa maskin wa mali lakin ukawa tajili wa hekima, busara ukiachia mbali Elimu ya darasani, utajili unanunuliwa hata hapa mjini upo(Freemason) ,hivyo ni maamuzi ya m2, usimcheke na kumdharau m2 ndugu.
much dissapointed,think critically and judge as a gentlemen.
kati ya watu ambao ni ovyo wasiokuwa na haya basi nawewe ni mmoja wao.ila bora hata wewe kwa kuwa umeamua kuuanika upimbi wako.chunga sana hii ni sehemu ya kusaidiana ktk kujenga wala siyo kuvunja jiheshimu sana wewe kizazi cha .com