felijose JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 201 Reaction score 59 May 7, 2013 #1 Natafuta sehemu ya kufanya field mwezi wa saba .... Kwa system design and implimentation na programming kwa for both java and android java...
Natafuta sehemu ya kufanya field mwezi wa saba .... Kwa system design and implimentation na programming kwa for both java and android java...
BIREGU Member Joined Feb 10, 2013 Posts 31 Reaction score 8 May 7, 2013 #2 Utapata tu! ila Bongo na makampuni ya software inabidi utatafute asa
Isaac Chikoma JF-Expert Member Joined Oct 25, 2011 Posts 475 Reaction score 101 May 7, 2013 #3 hiyo shunghuli,unaweza ukaingia sehem kama ucc ukalipia ukawa unasoma,ukafanya kama field yako.
felijose JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 201 Reaction score 59 May 7, 2013 Thread starter #4 Unalipia kama shilingi ngapi kaka??
mathematics JF-Expert Member Joined Feb 21, 2012 Posts 3,324 Reaction score 1,116 May 8, 2013 #5 isaac chikoma said: hiyo shunghuli,unaweza ukaingia sehem kama ucc ukalipia ukawa unasoma,ukafanya kama field yako. Click to expand... amesema anataka sehemuu ya kwenda kufanyia mazoezi mafunzo kwa votendo yake, wewe unataka tena kwenda kumrudisha darasani.....!!!
isaac chikoma said: hiyo shunghuli,unaweza ukaingia sehem kama ucc ukalipia ukawa unasoma,ukafanya kama field yako. Click to expand... amesema anataka sehemuu ya kwenda kufanyia mazoezi mafunzo kwa votendo yake, wewe unataka tena kwenda kumrudisha darasani.....!!!
Isaac Chikoma JF-Expert Member Joined Oct 25, 2011 Posts 475 Reaction score 101 May 8, 2013 #6 mathematics said: amesema anataka sehemuu ya kwenda kufanyia mazoezi mafunzo kwa votendo yake, wewe unataka tena kwenda kumrudisha darasani.....!!! Click to expand... sehemu kama hizo pia zina mafunzo kwa vitendo,siku hizi kupata field ni kazi sana inakuwa kama unaomba kazi vile. Cheki open university, na softnet.
mathematics said: amesema anataka sehemuu ya kwenda kufanyia mazoezi mafunzo kwa votendo yake, wewe unataka tena kwenda kumrudisha darasani.....!!! Click to expand... sehemu kama hizo pia zina mafunzo kwa vitendo,siku hizi kupata field ni kazi sana inakuwa kama unaomba kazi vile. Cheki open university, na softnet.