mkuu kwani simu nzuri inaangaliwa Display yake tu', ingekuwa hivyo basi hata IPhone 4 inayotumia Retina Display inayokupa ~330 PPI Pixel Density kweny kioo chake ingeipiku hiyo Galaxy yako yenye Super Amoled yenye resolution ya ~217 Pixel Per Inch,, mwache jamaa aEnjoy kitu 1GHz processor kwenye Galaxy Tab yake,,,,,,, :eyebrows: :eyebrows: