Maeneo hayo vp hakunaga mafuriko? angalia kuna jamaa angu alichukua chenye choo ndani mafuriko haya ya juzi mavi si yakawa yanarudi kwenye pipe ile yalitapakaa sebureni na chumbani
Maeneo hayo vp hakunaga mafuriko? angalia kuna jamaa angu alichukua chenye choo ndani mafuriko haya ya juzi mavi si yakawa yanarudi kwenye pipe ile yalitapakaa sebureni na chumbani
Jamaa room nzima ilitapakaa mavi kwa hasira akamfuata mwenye nyumba akamwambia halipi kodi mwaka mzima sijui ujenzi gani huo lile tank la maji taka lilivyo jaa na maji ya mvua likaanza kurudisha mavi kwa njia ya pipe mpaka yakatokea mavi kwenye sehemu ya kuchutama