natafuta nyumba ya kununua

natafuta nyumba ya kununua

mistiqal

Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
5
Reaction score
1
hello, natafuta nyumba ya kununua maeneo ya mwenge,savei, ubungo,kinondoni na tabata, bei ya mtanzania wa kawaida sina mamilioni jamani, budget ni 35-45 m.
 
Mkuu una maanisha dola milion 35-45 au dafu? Kwa maeneno hayo uliyotaja inawezekana kweli?
 
Mimi ninayo naiuza, ila haijakamilika naweza kukutumia picha, ipo kinyerezi. Inafikika kupitia Temboni au kinyerezi mwisho!
 
Sikiliza kwa budget hiyo mi nakupa nyumba mpya chamazi unasemaje. na kama vp nikupe gofu maeneo ya kinondoni
 
hello, natafuta nyumba ya kununua maeneo ya mwenge,savei, ubungo,kinondoni na tabata, bei ya mtanzania wa kawaida sina mamilioni jamani, budget ni 35-45 m.

Jamani kuna jirani yangu anauza nyumba hapa mbezi kwa m33 alinambia juzi mie nikamwambia siwezi haijaisha bado.
 
hello, natafuta nyumba ya
kununua maeneo ya mwenge,savei, ubungo,kinondoni na tabata, bei ya
mtanzania wa kawaida sina mamilioni jamani, budget ni 35-45 m.
nyumba za nhc zinaanza kuuzwa soon bei m 50,pitia web ya nhc,T/kisukulu karibu na mahakama bar kuna nyumba inauzwa nimeona tangazo,la ambassador estate agency
 
nyumba za nhc zinaanza kuuzwa soon bei m 50,pitia web ya nhc,T/kisukulu karibu na mahakama bar kuna nyumba inauzwa nimeona tangazo,la ambassador estate agency
asnte mkuu ntacheki web yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom