kama kuna sababu nyuma ya kuipata SIM aina hiyo inunue, lkn kama unatafuta SIM nzuri ysiingie usinunue taja bei ulionayo na matumizi yako tukushauri nzuri zaidi
kama kuna sababu nyuma ya kuipata SIM aina hiyo inunue, lkn kama unatafuta SIM nzuri ysiingie usinunue taja bei ulionayo na matumizi yako tukushauri nzuri zaidi
Mkuu kwa bajet isiyozidi unaweza nisaidia kujua ni simu gani ninaweza kununua inayosaport pdf files,ppt files,document files,live streaming video na yenye kamera nzuri. Nitashukuru mkuu
Mkuu kwa bajet isiyozidi unaweza nisaidia kujua ni simu gani ninaweza kununua inayosaport pdf files,ppt files,document files,live streaming video na yenye kamera nzuri. Nitashukuru mkuu
Ahsante mkuu ninayotumia ni E71 aina tofauti sana na E72 ,tofauti kubwa ni kamera. Kwa hiyo ninalenga aina nyingine ikiwa mpya ya bei nafuu lkn tatizo kubwa ni hizi simu za kichina
Mkuu kwa bajet isiyozidi unaweza nisaidia kujua ni simu gani ninaweza kununua inayosaport pdf files,ppt files,document files,live streaming video na yenye kamera nzuri. Nitashukuru mkuu
tafuta galaxy poket galaxy y na galaxy mini zina Mambo yote unayo hitaji sema tu tatizo ni screen ndogo na betri hazikai sana na chaji kama Nokia. kama screen ndogo tatizo chukua Nokia e72 ni bora kwa e71. au e5 Mambo yote utayafanya.
hapa kashinda Nokia lkn usinunue e71 kama unauwezo wa e72 au e 5
tafuta galaxy poket galaxy y na galaxy mini zina Mambo yote unayo hitaji sema tu tatizo ni screen ndogo na betri hazikai sana na chaji kama Nokia. kama screen ndogo tatizo chukua Nokia e72 ni bora kwa e71. au e5 Mambo yote utayafanya.
hapa kashinda Nokia lkn usinunue e71 kama unauwezo wa e72 au e 5