Ili ufanikiwe katika utafutaji nakushauri uongeze information kuepuka maswali yasiyo ya lazima mfano jinsia yako, umri na unatafuta mtu mwenye sifa gani (hii ita-save sana muda wako na wa walengwa)
ukiwa serious utapata tu dogo, ila uwe mvumilivu. Mimi ilinichukua zaidi ya miezi sita mpaka kumpata binti mwenye sifa nilizotaka, na nikapata mtoto wa kipare pure from Usangi.