Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 13,481 Reaction score 26,384 Feb 19, 2021 #21 financial services said: Wow ahsante kwa upendo wako, Kuhusu uzuri wala si kweli mkuu nipo kawaida sana (ugly) Click to expand... Hii mbinu ya kivita ya kujiita ugly imeanza lini tena jamani, nami nataka
financial services said: Wow ahsante kwa upendo wako, Kuhusu uzuri wala si kweli mkuu nipo kawaida sana (ugly) Click to expand... Hii mbinu ya kivita ya kujiita ugly imeanza lini tena jamani, nami nataka
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,141 Reaction score 43,366 Feb 19, 2021 #22 Jasmoni Tegga said: Siyo kwamba tu yatabadilika, yataharibika ๐ Click to expand... Ooh kwamba sisi ni waharibifu jamani?๐ Si kweli bana tena nahisi mke ndiye atamsaidia zaidi kufikia malengo yake.
Jasmoni Tegga said: Siyo kwamba tu yatabadilika, yataharibika ๐ Click to expand... Ooh kwamba sisi ni waharibifu jamani?๐ Si kweli bana tena nahisi mke ndiye atamsaidia zaidi kufikia malengo yake.
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,141 Reaction score 43,366 Feb 19, 2021 #23 Jasmoni Tegga said: Hii mbinu ya kivita ya kujiita ugly imeanza lini tena jamani, nami nataka Click to expand... Siyo mbinu ni ukweli J hivo inabidi kumtahadharisha mtu mapema kabla hajafikia mbali kwa expectations zake๐
Jasmoni Tegga said: Hii mbinu ya kivita ya kujiita ugly imeanza lini tena jamani, nami nataka Click to expand... Siyo mbinu ni ukweli J hivo inabidi kumtahadharisha mtu mapema kabla hajafikia mbali kwa expectations zake๐
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 13,481 Reaction score 26,384 Feb 19, 2021 #24 financial services said: Ooh kwamba sisi ni waharibifu jamani? Si kweli bana tena nahisi mke ndiye atamsaidia zaidi kufikia malengo yake. Click to expand... Akina Pascal Silvin wanakuaga wapole sana labda wakutane na ma-introvert wenzao
financial services said: Ooh kwamba sisi ni waharibifu jamani? Si kweli bana tena nahisi mke ndiye atamsaidia zaidi kufikia malengo yake. Click to expand... Akina Pascal Silvin wanakuaga wapole sana labda wakutane na ma-introvert wenzao
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 13,481 Reaction score 26,384 Feb 19, 2021 #25 financial services said: Siyo mbinu ni ukweli J hivo inabidi kumtahadharisha mtu mapema kabla hajafikia mbali kwa expectations zake Click to expand... Ni sawa eti lakini siyo kwa msisitizo huo wa maandishi ๐
financial services said: Siyo mbinu ni ukweli J hivo inabidi kumtahadharisha mtu mapema kabla hajafikia mbali kwa expectations zake Click to expand... Ni sawa eti lakini siyo kwa msisitizo huo wa maandishi ๐
April26 JF-Expert Member Joined Jul 14, 2020 Posts 1,405 Reaction score 2,162 Feb 20, 2021 #26 financial services said: Aisee haya thank you April Click to expand... You are welcome!
Jimmy31 Member Joined Jan 6, 2021 Posts 27 Reaction score 13 Feb 20, 2021 #27 luckyline said: Mwanaume akijua kupika vyakula vingi haipendezi. Kukosoa kosoa hakuishi. Natania lakini Click to expand... Huo mguu n wako pek yko ama mpo watatu Sent using Jamii Forums mobile app
luckyline said: Mwanaume akijua kupika vyakula vingi haipendezi. Kukosoa kosoa hakuishi. Natania lakini Click to expand... Huo mguu n wako pek yko ama mpo watatu Sent using Jamii Forums mobile app