mwanalukago
Member
- Feb 24, 2012
- 83
- 15
Ha-ha Rubii hamina dawasco kabisaInabidi niongeze dozi ya maji
Mm maji ya kundeKwani ww n mweupe?
Humu?Hello wapendwa,
Poleni na mihangaiko ya kila siku. Nimejitokeza humu kwa mara ya kwanza kabisa. Kifupi natafuta mwanamke ambaye badaye atakuja kuwa mke wangu seriously. Mimi na mwajiriwa na ninaishi DSM.
Mwanamke huyu anatakiwe awe mcha Mungu, mvumilivu mwenye upeo wa kuona mbali,maji ya kunde au mweupe kwa rangi, asiwe mwembamba sana wala mnene sana awe mkazi wa DSM.
Kama una sifa hizo pliz ni Pm
Eti mrefu,jnafiiri kila mrefu anakuwa na mkia mrefu,utasogezwa kizazi wewe!Pata wa kawaida tu kama Joti!Alafu hata awe mweupe vipi naniluu lazma iwe nyeusiKwani ww n mweupe?