Picha ya dada yangu umeitoa wapi mkuu?Kama huyu?View attachment 1223908
Mambo ni Moto,Picha ya dada yangu umeitoa wapi mkuu?
Usikute ni mchepuko wako.kumbe Ndio maana anazeekea nyumbani
Aslam aleykum ndugu zanguni, mimi ni kijana ninayetafuta namna ya kuuaga ukapera baada ya shinikizo kubwa la mama na dadazangu maana inaonekana umri unayoyoma ila sijawahi kuwatambulisha wifi hata mmoja, kuoa nataka ila nnapata shida sana ya kumpata mwanamke nnayemtaka. Mimi sikuzote nna ndoto ya kuoa mwanamke mrefu mweupeee ili Mungu akijaalia nibadilishe rangi ya ukoo, maana mimi ni mweusi kama mpingo, vivyohivyo kwa wanaukoo wengine, changamoto niliyonayo kwenye kutimiza ndoto yangu ni kumjua mwanamke mweupe by nature, maana nikiangalia sikuhizi mjini wanawake karibu wote ni weupe, na weupe wenyewe wameupata ukubwani. Swali, nitajuaje yupi ni mweupe wa asili?
Mimi nimemuacha nikupe namba zake? Maana mm nataka mweusiAslam aleykum ndugu zanguni, mimi ni kijana ninayetafuta namna ya kuuaga ukapera baada ya shinikizo kubwa la mama na dadazangu maana inaonekana umri unayoyoma ila sijawahi kuwatambulisha wifi hata mmoja, kuoa nataka ila nnapata shida sana ya kumpata mwanamke nnayemtaka. Mimi sikuzote nna ndoto ya kuoa mwanamke mrefu mweupeee ili Mungu akijaalia nibadilishe rangi ya ukoo, maana mimi ni mweusi kama mpingo, vivyohivyo kwa wanaukoo wengine, changamoto niliyonayo kwenye kutimiza ndoto yangu ni kumjua mwanamke mweupe by nature, maana nikiangalia sikuhizi mjini wanawake karibu wote ni weupe, na weupe wenyewe wameupata ukubwani. Swali, nitajuaje yupi ni mweupe wa asili?
😂 😂 😂Mkuu njoo pm kama una demu mweusi tubadilishane nikupe huyu wangu mweupe
Hayo Mambo ni ya zamani Mzee saivi wapo wengi wenye visimi vyao na wanyaturu Wana visimi vinene kikituna kinakuwa kama dole kumba unene Acha mzeeHajakatwa kimpa utamu?
Nenda china au UarabuniAslam aleykum ndugu zanguni, mimi ni kijana ninayetafuta namna ya kuuaga ukapera baada ya shinikizo kubwa la mama na dadazangu maana inaonekana umri unayoyoma ila sijawahi kuwatambulisha wifi hata mmoja.
Kuoa nataka ila nnapata shida sana ya kumpata mwanamke nnayemtaka. Mimi siku zote nna ndoto ya kuoa mwanamke mrefu mweupeee ili Mungu akijaalia nibadilishe rangi ya ukoo, maana mimi ni mweusi kama mpingo, vivyohivyo kwa wanaukoo wengine, changamoto niliyonayo kwenye kutimiza ndoto yangu ni kumjua mwanamke mweupe by nature, maana nikiangalia sikuhizi mjini wanawake karibu wote ni weupe, na weupe wenyewe wameupata ukubwani.
Swali, nitajuaje yupi ni mweupe wa asili?
Aslam aleykum ndugu zanguni, mimi ni kijana ninayetafuta namna ya kuuaga ukapera baada ya shinikizo kubwa la mama na dadazangu maana inaonekana umri unayoyoma ila sijawahi kuwatambulisha wifi hata mmoja.
Kuoa nataka ila nnapata shida sana ya kumpata mwanamke nnayemtaka. Mimi siku zote nna ndoto ya kuoa mwanamke mrefu mweupeee ili Mungu akijaalia nibadilishe rangi ya ukoo, maana mimi ni mweusi kama mpingo, vivyohivyo kwa wanaukoo wengine, changamoto niliyonayo kwenye kutimiza ndoto yangu ni kumjua mwanamke mweupe by nature, maana nikiangalia sikuhizi mjini wanawake karibu wote ni weupe, na weupe wenyewe wameupata ukubwani.
Swali, nitajuaje yupi ni mweupe wa asili?