mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,186
- 19,112
Darasa la utapeli!! labda utafanikisha!!Asalam aleykum
Naitwa M ni mwanamke wa miaka25 muslim nina elimu ya dini pamoja na stashahada ya pharmacy nahtaj mwanaume awe muislam mwenye kujitambua na anaejua nn maana ya mke enough pesa tutatafuta
0783330989
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kuna jambo hapangoja ukute yupo kwao na ges ikiisha unapaswa uwajibike kununua!
Wacha utapeli wewe! kwanini ufunge Thread. hapa ni mpambano tu huwezi kutufungia Thread wakati na sisi tunataka piaHati
Hatimae naenda kupata mke sasa na mie. Thread closed.,..
Ka laheri katka safari yako yakutafuta mme boraAsalam aleykum
Naitwa M ni mwanamke wa miaka25 muslim nina elimu ya dini pamoja na stashahada ya pharmacy nahtaj mwanaume awe muislam mwenye kujitambua na anaejua nn maana ya mke enough pesa tutatafuta
0783330989
Hataki zinaa...Miaka 25 tuu[emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji1787][emoji1787]Wacha utapeli wewe! kwanini ufunge Thread. hapa ni mpambano tu huwezi kutufungia Thread wakati na sisi tunataka pia
Mrembo ?!! [emoji1787]Nimekuona fb
[emoji1787][emoji1787]Wazee wa Waraka tumetengwa hapa.
Amen[emoji120]May Allah grant all your wishes; and more!
Mabinti wa kiislamu wanaolewa mapema.Miaka 25 tuuπππ
Umewawekea na namba wahuni wa JF tusubiri marejesho usiwe km yule mpiga simu usikuAsalam aleykum
Naitwa M ni mwanamke wa miaka25 muslim nina elimu ya dini pamoja na stashahada ya pharmacy
Nahitaji mwanaume awe muislam mwenye kujitambua na anayejua nini maana ya mke enough pesa tutatafuta
0783330989
Wewe una mingapi binti kiziwi nikimwambia laaavuyu hanisikii nikimwambia aaaainidiyu hanitambuiMabinti wa kiislamu wanaolewa mapema.
Tena hapo kakomaa balaa ilibidi 19 tayari watu wanakula kitu teketekeMiaka 25 tuuπππ