Natafuta mume

Mimi mwembamba lakin we mbamba siyo kilema

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Dah! Elimu imeniangusha kupata mke

Sasa hii la saba nitapata mke kweli!
 
Sifa niliyokosa hapo ni elimu, lakini mamiloo ukikubali kuolewa na Mimi wazazi wako watarukaruka siku wakiniona na kusema tupate wapi tena mkwe kama huyu.
 
Njoo hapa hapa tuyajenge au weka no,yako nikubigie, ila mm niko kijijini huku tanga kunasehemu inaitwa mabokweni njia ya horohoro,stanii.
 
Tafuta wa kumlipia ada na umtafutie kazi ndo akuoe
 
Pambana mama..

Ukitakwa ukalinga,utakuja taka ukazinga...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…