Natafuta mume

Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Mkuu mbona hapo kwenye tribe(kabila) umejichanganya? Hapo juu umeandika tribe; any, kisha hapa chini unasema tena asiwe Mchaga au wa Pwani?

Anyways, nakutakia kila la heri umpate Mume atakayekufaa maishani.
 
Mkuu mbona hapo kwenye tribe(kabila) umejichanganya? Hapo juu umeandika tribe; any, kisha hapa chini unasema tena asiwe Mchaga au wa Pwani?

Anyways, nakutakia kila la heri umpate Mume atakayekufaa maishani.
Kwani hujaelewa? Asante
 
OK hata kondoa ni Dodoma pia
 
Unataka mwenye Degree yenye GPA ya ngapi ? Mimi nina GPA ya 32, je nitakufaa ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…