E Eduin Senior Member Joined May 15, 2014 Posts 189 Reaction score 136 Jun 26, 2015 #1 Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26. Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown. Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical. Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na Elimu yeyote. Awe na Umri kati ya miaka 18-22. Kwa mawasiliano, Nitumie PM au nipigie simu #0713123160, beep au tuma meseji. Asante
Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26. Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown. Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical. Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na Elimu yeyote. Awe na Umri kati ya miaka 18-22. Kwa mawasiliano, Nitumie PM au nipigie simu #0713123160, beep au tuma meseji. Asante
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,109 Jun 26, 2015 #2 soulmate mkuu ? huwezi kupata a lot of suprises from that lady zitakuwepo .. so labda kampenzi tu mhaya wa watu
soulmate mkuu ? huwezi kupata a lot of suprises from that lady zitakuwepo .. so labda kampenzi tu mhaya wa watu
E Eduin Senior Member Joined May 15, 2014 Posts 189 Reaction score 136 Jun 26, 2015 Thread starter #3 stak mpnz, nataka mke
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,109 Jun 26, 2015 #4 Eduin said: stak mpnz, nataka mke Click to expand... ha ha haha sawa
Mbalamwezi1 JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 2,073 Reaction score 2,027 Jun 26, 2015 #5 Eduin said: Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26. Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown. Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical. Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na Elimu yeyote. Awe na Umri kati ya miaka 18-22. Kwa mawasiliano, Nitumie PM au nipigie simu #0713123160, beep au tuma meseji. Asante Click to expand... Unatafuta mke wa kuoa?!dah!yani mke wa kuoa!!mi nafikiri ungesema mwanamke wa kuoa coz huwezi kuoa mke!!
Eduin said: Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26. Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown. Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical. Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na Elimu yeyote. Awe na Umri kati ya miaka 18-22. Kwa mawasiliano, Nitumie PM au nipigie simu #0713123160, beep au tuma meseji. Asante Click to expand... Unatafuta mke wa kuoa?!dah!yani mke wa kuoa!!mi nafikiri ungesema mwanamke wa kuoa coz huwezi kuoa mke!!
Tamatheo JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 3,298 Reaction score 1,562 Jun 26, 2015 #6 Eduin said: Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26. Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown. Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical. Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na Elimu yeyote. Awe na Umri kati ya miaka 18-22. Kwa mawasiliano, Nitumie PM au nipigie simu #0713123160, beep au tuma meseji. Asante Click to expand... Sasa mdogo wangu, huyu binti unamtafutia nini???????????? Tohoa kauli
Eduin said: Mimi naitwa Edwin, Nina miaka 26. Kabila langu ni Muhaya Msabato mrefu mwembamba brown. Sijaajiliwa ila nina elimu ya mechanical. Namtafuta binti mwembamba, rangi yeyote mcha Mungu, Mkristu na Elimu yeyote. Awe na Umri kati ya miaka 18-22. Kwa mawasiliano, Nitumie PM au nipigie simu #0713123160, beep au tuma meseji. Asante Click to expand... Sasa mdogo wangu, huyu binti unamtafutia nini???????????? Tohoa kauli
binti wa kikwere Member Joined Sep 5, 2014 Posts 67 Reaction score 34 Jun 26, 2015 #7 kila la kheri kaka mungu akupe hitaji la moyo wako
Kaboom JF-Expert Member Joined Nov 6, 2011 Posts 10,832 Reaction score 15,032 Jun 26, 2015 #8 Eduin said: stak mpnz, nataka mke Click to expand... mke haolewi