Natafuta mke mtarajiwa

YAHERI MUNGU

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
318
Reaction score
215
Mimi nina umri wa miaka 35 na ndiyo niko kwenye Ujasiliamali. Muda wangu sasa wa kuwa na mke naona kuwa ndiyo huu hapa.

Sijawahi kuwa na mwanamke kabla. Hivyo kwa sasa ninamuhitaji niwe naye. Mwanamke anayetakiwa awe chini ya umri wa miaka 35.

Makazi yangu mimi yako hapa Dar es Salaam. Kwa atakayekuwa tayari, tafadhari tuwasiliane kwa maongezi zaidi.

Asanteni.
 
Sijaelewa hujawahi kuwa na mwanamke kwa muda wote wa miaka 35? Thats very unique chaaa!. Anyways best of luck
 
Inamaana hujawqhi kufanya haya mambo yetu ya kikubwa?
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…