tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 12,054 Reaction score 16,507 Aug 16, 2015 #1 ungempata lakini tatizo ni hiyo kazi yako
lecho p Member Joined Aug 13, 2015 Posts 27 Reaction score 7 Aug 16, 2015 #2 kunawayao huku wanashida kweli na kuolewa wange kuona wagejipaga mstar
Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,647 Reaction score 11,227 Aug 16, 2015 #3 Ipululu said: Nina 35yrs,maji ya kunde,mrefu kiasi,mnene kiasi,mkristo,naishi Dar es Salaam,Mwalimu sekondari,,sichagui kiwango cha elimu,dini,kabila,sura,rangi,kazi,umbo,kuzaa(aliye zaa watoto),anayehitaji ani PM,,kama huhitaji waachie wanaohitaji mwanaume Click to expand... Mkuu nenda Pale Jagwani kuna mkutano wa Injili kuna wadada kibao wameenda pale mahsusi kutafuta waume
Ipululu said: Nina 35yrs,maji ya kunde,mrefu kiasi,mnene kiasi,mkristo,naishi Dar es Salaam,Mwalimu sekondari,,sichagui kiwango cha elimu,dini,kabila,sura,rangi,kazi,umbo,kuzaa(aliye zaa watoto),anayehitaji ani PM,,kama huhitaji waachie wanaohitaji mwanaume Click to expand... Mkuu nenda Pale Jagwani kuna mkutano wa Injili kuna wadada kibao wameenda pale mahsusi kutafuta waume
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Aug 16, 2015 #4 Siuchukue wanafunzi wako wanao maliza? Yani weww sijui mwalim gani?? Au ni walinu wa UPR
Malaika AD JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 496 Reaction score 316 Aug 16, 2015 #5 Mwalimu, tutakutana kwenye mgao wa laptop