BlackBerry JF-Expert Member Mar 22, 2011 1,839 956 Aug 18, 2011 #21 Duh kwa nini wajane? mhhh all the best
Riwa Platinum Member Oct 11, 2007 2,607 3,068 Aug 18, 2011 #22 hiyo email address mbona ina jina la 'kiume'?!
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Aug 18, 2011 #23 nina mashaka na wewe................
D Didack3 Member Oct 20, 2011 5 0 Oct 28, 2011 #24 nashindwa kuwaelewa baadhi ya wanajamii,hv mmejiunga jamii ili mkashifu watu kwa hoja zao au tusaidiane mawazo na ushauri.?nadhani tuwe waungwana kujali hisia za mtu si kashfa na kebehi.haina maana.tupeane ushauli wa maana.
nashindwa kuwaelewa baadhi ya wanajamii,hv mmejiunga jamii ili mkashifu watu kwa hoja zao au tusaidiane mawazo na ushauri.?nadhani tuwe waungwana kujali hisia za mtu si kashfa na kebehi.haina maana.tupeane ushauli wa maana.