Natafuta mchumba

PRINCEBOY

Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
73
Reaction score
52
Naitwa Geofre wa Mbeya Tz nna miaka 24 ni muajiriwa,ni mrefu,rangi maji ya kunde natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo.

1.Awe mweupe au maji ya kunde.

2.Awe mwembamba au mwenye umbonamba nane.

3.Awe na elimu yoyote.

4.Awe mzuri kitabia na kisura.

5.Asichague hali ya maisha kuishi maana maisha ni kitendawili ambacho hakuna mwenye jibu zaidi ya Mungu.

6.Awe ameokoka.
 
Dogooo!! Umekosa mwanamke hata kanisana ,mtaan kwako, ofsin kwako, hata sokon?!!
Hapa hupant ntu labda utakutana na waleee makonkodi
 
nimesahau mawaliano yangu nicheki kwa no.0656043636
 
Nenda kanisani kwa walokole huko wengi watakua wameokoka
 
wadau nimeamua kurudi tena baada ya kutofanikiwa ombi la kwanza.
 
Kim K ka mp huyu dada anatafuta mchumba
 
Last edited by a moderator:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…