Naitwa Geofre wa Mbeya Tz nna miaka 24 ni muajiriwa,ni mrefu,rangi maji ya kunde natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo
1.Awe mweupe au maji ya kunde
2.Awe mwembamba au mwenye umbo
namba nane
3.Awe na elimu yoyote
4.Awe mzuri kitabia na kisura
5.Asichague hali ya maisha kuishi
maana maisha ni kitendawili
ambacho hakuna mwenye jibu
zaidi ya Mungu
6.Awe ameokoka[/
Hivi bado wanawake wanatafutwa kwenye social network.