Ni mwanaume mwenye umri
wa miaka 37,natafuta girlfriend ambaye atakua mchumba na baadaye mke wa
ndoa,awe na umri kati ya 26-35 asiwe kibonge wala mfupi saana,mkristo
lakini kabila na rangi wala elimu so tatizo.Alietayari aniandikie
hapahapa na kuweka simu yake nami nitampigia