dont trust jf people hawako serious kabisa humu.......unawezekeza akili...garama....mawazo....imani kwa mtu bt yeye atakufanya kama anachezza game la zuma.....bora ufatilie wale dada wauza vitumbua genge la jirani wanaweza kuwa na utu au wakawa na true love....ila humu mmmh utaharibiwa dreams plus feelings.