mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 25 natafuta mchumba wa kuoa.
SIFA
1.awe mkristo.
2.awe na umri usiozidi miaka 23.
3.awe tayali kupima vvu.
4.awe tayali kuvumilia kwa muda wa mwaka mmoja ndio tuowane.
5.urefu usipungue 1.5metre.
6.awe mcheshi.