Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
Hakuna mwanamke timamu asiyependa kuolewa, ila sasa ataolewa na nani wakati waoaji wenyewe hakuna!!watu wanakula tu wanasepa zao!!Habarini za kazi wana JamiiForums,
Kwa sasa hivi ni tofauti kabisa na zamani, kulikuwa na utaratibu wa kuoana na mwanamke ambaye unafahamu familia yao kuanzia tabia hadi.
Ni mtizamo mzuri sana kwa enzi zile lakini sasa hivi imekuwa tofauti sana, wadada walio wengi hawapendi kuolewa kwa kile wanachokidai kukosa uhuru wa kufanya mambo yao.
Hadi leo haujapata?Wabawake mko wapi nyie au mashart magumu??? Basi nataka yeyote bila kujali elimu yake.....awe tayari kupima tuuu
hahahaTatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..ufupi sasa
Duh!! Pole aisee...toa icho kigezo cha kupimaSijapata mkuu wanaogopa kupima
kwann usiwafate ww!!!!Wabawake mko wapi nyie au mashart magumu??? Basi nataka yeyote bila kujali elimu yake.....awe tayari kupima tuuu
DuhHayo masharti utafikir unatafuta nyumba ya kupanga.
Cwez mkuu nataka mwenye nia yake ya dhati cyo mm nimfatekwann usiwafate ww!!!!
inawezekana wapo wanaotaka ila wanashindwa kuanza kuja huko PM,
Punguza masharti mkuu
Nimesema yeyote atakaye kuwa tyr kupimaPunguza masharti mkuu
endelea kusubiriCwez mkuu nataka mwenye nia yake ya dhati cyo mm nimfate
Sawa millerendelea kusubiri
Cwezi=siwezi.Cwez mkuu nataka mwenye nia yake ya dhati cyo mm nimfate
AaahCwezi=siwezi.
Cyo =siyo.
Halafu una elimu ya juu ujue
AaaahMmh maisha bhnaaa
Angekuwa mdada anatafuta sawa hadi wewe mwanamme??
Mke&mme BoraAaaah