Natafuta mchumba

Hakuna mwanamke timamu asiyependa kuolewa, ila sasa ataolewa na nani wakati waoaji wenyewe hakuna!!watu wanakula tu wanasepa zao!!
 
Wabawake mko wapi nyie au mashart magumu??? Basi nataka yeyote bila kujali elimu yake.....awe tayari kupima tuuu
 
Wabawake mko wapi nyie au mashart magumu??? Basi nataka yeyote bila kujali elimu yake.....awe tayari kupima tuuu
kwann usiwafate ww!!!!
inawezekana wapo wanaotaka ila wanashindwa kuanza kuja huko PM,
 
Hayo masharti utafikir unatafuta nyumba ya kupanga.
 
Bado nafasi iko wazi wadada usiogope masharti....kikubwa ni kupima tuuuuuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…