Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 30. Nimehitimu elimu ya Chuo Kikuu ngazi ya Uzamili. Kazi ni Mhadhiri na ninaishi Mwanza.
Wana JF, natafuta mchumba mwenye umri usiozidi miaka 30 na isiyopungua miaka 24. Dini, rangi, kabila na elimu sibagui ila awe mwenye tabia njema na akiwa ameshajifungua basi wasizidi watoto watatu.
Mimi napenda sana kuangalia muvi, kusoma vitabu, kupiga kinanda na kuimba (Ingawaje sina kipaji), pia napenda sana kusaidia watu wasiojiweza hasa yatima na wajane. Wakuu, udhaifu wangu mkubwa ni kunywa sana pombe ingawaje sivuti sigara.
Kwa hayo machache, naomba kwa mwanamke yeyote ambaye kwa kuzingatia nilichosema, anajua yuko tayari kuwa nami basi tuwasiliane privately.
NB: SIJAOA WALA KUWA NA MCHUMBA MPAKA LEO KWA SABABU YA MAISHA TU.
Nawasilisha.
Wana JF, natafuta mchumba mwenye umri usiozidi miaka 30 na isiyopungua miaka 24. Dini, rangi, kabila na elimu sibagui ila awe mwenye tabia njema na akiwa ameshajifungua basi wasizidi watoto watatu.
Mimi napenda sana kuangalia muvi, kusoma vitabu, kupiga kinanda na kuimba (Ingawaje sina kipaji), pia napenda sana kusaidia watu wasiojiweza hasa yatima na wajane. Wakuu, udhaifu wangu mkubwa ni kunywa sana pombe ingawaje sivuti sigara.
Kwa hayo machache, naomba kwa mwanamke yeyote ambaye kwa kuzingatia nilichosema, anajua yuko tayari kuwa nami basi tuwasiliane privately.
NB: SIJAOA WALA KUWA NA MCHUMBA MPAKA LEO KWA SABABU YA MAISHA TU.
Nawasilisha.