Natafuta mchumba

Umepoteza dira mke mwema hutoka kwa Bwana, maanake Fanya maombi ya kufunga, ushaur wangu hiyo age hutampata mchumba kitabia bali mpenzi
 
Umepoteza dira mke mwema hutoka kwa Bwana, maanake Fanya maombi ya kufunga, ushaur wangu hiyo age hutampata mchumba kitabia bali mpenzi
mkuu mke mwema hashushwi kutoka mbinguni bali Mwenyezi Mungu hukupatia mke mwema kutoka hapahapa duniani haijalishi atatokea wapi,kuhusu age mbona iko poa kabisa?au ulitaka nianze kutafuta nikiwa tumboni nini?
 
acheni maskhara, ina maana huyu jamaa kachangiwa hili tangazo na kijiji ? tafadhalini heshimuni fikra za mtu. ushauri kwa jamaa, endelea kutafuta mchumba humu humu watanasa tu !!
watu kama nyinyi mnahitajika sana humu,ubarikiwe
 
Dogo tafuta pesa kwanza mapenzi hayatafutwi watakuja tu.
 
umenisikitisha sana muadventista mwenzangu yaani umekosa hata muimba kwaya hapo kanisani hadi uje huku TIMNA
 
Ndo mmeambiwa kanisani mje kutafuta wachumba?
 
Miaka 17 ni mtoto utafungwa.
Anza kuwazungukia makanisa ya kisabato kwanza
 
Mchumba si mke,anaweza akawa na miaka 10,na bado akawa mchumba wako sawa?
Mheshimiwa raisi wetu alikataza kuita watoto wachumba.. akikusikia wewe utakuwa ni lishetani
 
Unampango wa kuoa wanafunzi au? We bado nadhani kuoa ila unalazimisha. Najua kwa selection hiyo hata wazazi wako watafanya hivi ????.
 
Huna mawazo wewe nadhani unaaibisha hata kanisa lako futa hiyo thread maana jela inakuhusu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…