Kalunguine JF-Expert Member Jul 27, 2010 2,543 134 Jan 29, 2011 Thread starter #21 vigezo ni hivi: awe mrefu,asiwe mnene,muslim.
Seto JF-Expert Member Jan 15, 2011 953 53 Jan 29, 2011 #23 kalunguine said: najua kuwa wako watakaotukana na hawakosekani pia watakaokashifu hatua hii lakini ndivyo ilivyo,awe she mwenye vidato au college umri 23 - 28 Click to expand... hawa wachumba wa siku hizi bwana wanatafutwa kama vipuri vya magari...
kalunguine said: najua kuwa wako watakaotukana na hawakosekani pia watakaokashifu hatua hii lakini ndivyo ilivyo,awe she mwenye vidato au college umri 23 - 28 Click to expand... hawa wachumba wa siku hizi bwana wanatafutwa kama vipuri vya magari...
LD JF-Expert Member Aug 19, 2010 3,014 578 Jan 29, 2011 #24 Kalunguine said: najua kuwa wako watakaotukana na hawakosekani pia watakaokashifu hatua hii lakini ndivyo ilivyo,awe she mwenye vidato au college umri 23 - 28 Click to expand... Haya mzee, ngoja nitakutafuta, Mimi ni mnene sana lakini, unapenda wanene??
Kalunguine said: najua kuwa wako watakaotukana na hawakosekani pia watakaokashifu hatua hii lakini ndivyo ilivyo,awe she mwenye vidato au college umri 23 - 28 Click to expand... Haya mzee, ngoja nitakutafuta, Mimi ni mnene sana lakini, unapenda wanene??
pauline JF-Expert Member Dec 26, 2010 650 140 Jan 29, 2011 #25 mie siamini humu mtu unaweza pata mchumba,watu wa ku-PM iana hapo sawa..lol:sick:
GodfreyTajiri JF-Expert Member Sep 26, 2010 986 655 Jan 30, 2011 #26 pauline hujambo lakini? habari za kupotea? pauline said: mie siamini humu mtu unaweza pata mchumba,watu wa ku-PM iana hapo sawa..lol:sick: Click to expand...
pauline hujambo lakini? habari za kupotea? pauline said: mie siamini humu mtu unaweza pata mchumba,watu wa ku-PM iana hapo sawa..lol:sick: Click to expand...