Ustadhi ni bora ungeenda kwa Walimu wa dini na wa mama wazima wa kiislam utapata mke bora inshaallah. Hawa wa mitandaoni ni pasua kichwa kaka. Nunua majuzuu yako na musaafu tembelea madrasa na to misaada hiyo kisha ongea na hao walimu watakusaidia.
Allah akuongoze vema ktk kuiendea ibada ya ndoa.