Hivi ukitumia ID yako ya siku zote utakosa nini?
mm ni msichana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye yupo serious kuoa, mm ni mkristo na nna elimu ya ngaz ya cheti na nimeajiriwa kaktka kampuni moja kubwa dsm
sifa za mwanaume
umri:miaka24-30
dini:Mkrsto wa dhebu lolote na awe na hofu ya Mungu
elimu: form 6 nakuendelea
kazi: awe anafanya kazi
mm ni msichana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye yupo serious kuoa, mm ni mkristo na nna elimu ya ngaz ya cheti na nimeajiriwa kaktka kampuni moja kubwa dsm
sifa za mwanaume
umri:miaka24-30
dini:Mkrsto wa dhebu lolote na awe na hofu ya Mungu
elimu: form 6 nakuendelea
kazi: awe anafanya kazi
Nilijua tu utakuwa ni wewe!
Toka atoe tangazo lake kawa kimya sijui kapata tayar?
Hivi ukitumia ID yako ya siku zote utakosa nini?
Ha ha ha akuuu mi si domo zege
hata nikihitaji kaserengeti boy natangaza tu namuogopa nani kwani?
hivi ina maana ana id 2 au mkuu sijakuelewa happo?
Hivi ukitumia ID yako ya siku zote utakosa nini?
Mi sikuelewi weweUsipige kelele sana, moderator wamelala, watapita mitaa hii sasa hivi na ku merge! Unamfahamu bujibuji?