Nitajitahidi kufanya hivyo, maana nimepigwa milioni 17 halafu za mkopo.
Mimejitahidi kukaza na kuhonga ndio mpaka Sasa imerudi 5M na mmoja Yuko jela mwaka 1.
Kwenye hiyo 5M ndio nikawa natafuta eneo, nimekutana na Matapeli wengi mnoo. Sema kwa wakati huu nilikuwa nawashtukia.