Kuna mtu ameniambia ana ndugu yake maeneo ya Mkundi Nguvu kazi anauza kiwanja chake eneo ni kama 20m kwa 25m na anauza kwa 2.5.....
Kama uko serious and interested let me know ili nimuombe mawasiliano mwenye kiwanja nikupatie uende mwenyewe ukaangalie na u-negotiate nae....