Natafuta kiwanja Kigamboni

Natafuta kiwanja Kigamboni

John January

Member
Joined
Mar 31, 2018
Posts
11
Reaction score
7
Hbr wakuu,

Natafuta kiwanja sehemu za Kigamboni, kikiwa Mji Mwema, Geza Ulole au Kibada itapendeza zaidi.
 
Hbr wakuu,

Natafuta kiwanja sehemu za Kigamboni, kikiwa Mji Mwema, Geza Ulole au Kibada itapendeza zaidi.
Kuna mtu namjua ana kiwanja kibada,maeneo ya fullshangwe kiwanja kipo block 15,kina hati ukubwa wa kiwanja ni sqmt 600.....kama uko serious na ni mtakaji naweza link naye.....

Ova
 
Kama bado hujapata na unahitaji Gezaulole kwenye mradi wa viwanja vipya blocks 16-24 nicheki inbox. Hili ni eneo lililo karibu na zinapojengwa ofisi za Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya pia Hospitali ya wilaya ya Kigamboni
 
Kama bado hujapata na unahitaji Gezaulole kwenye mradi wa viwanja vipya blocks 16-24 nicheki inbox. Hili ni eneo lililo karibu na zinapojengwa ofisi za Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya pia Hospitali ya wilaya ya Kigamboni
Nakuja mkuu
 
Kama bado hujapata na unahitaji Gezaulole kwenye mradi wa viwanja vipya blocks 16-24 nicheki inbox. Hili ni eneo lililo karibu na zinapojengwa ofisi za Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya pia Hospitali ya wilaya ya Kigamboni
viwanja ni sqm ngapi na bei gani mkuu huko gezaulole?
 
Kuna kiwanja kibada sqm 1749

kuna kiwanja mwongozo sqm 630 kipo pembeni mwa mradi wa nssf wa mwongozo(ushakamilika) na ni mita 200 toka baharini.


Vyote ni vya kupima na vina hati.
 
Mimi changu kimbiji block d milioni 15.nafatilia offer.sq.800
 
Mngekua mnaweka mambo wazi mngeweza kuuza kwa haraka. Sijui wabongo tumerogwa na nani hutubadiliki kwa nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom