Masharti mbona hayaendani na bajeti kaka?Natafuta kiwanja bagamoyo mjini..hadi kilomo mwisho ukuni.
Kiwe na ukubwa wa kutosha..
Umeme uwepo na kisiwe mbali na barabara, sihitaji dalali..
Kisiwe na mgogoro na hati iwepo.
Bajeti mil 5.
Karibuni.
Kipo Sanzale umeme upo karibu , dakika 5 kwa gari hadi barabara kuu 0712652110Natafuta kiwanja bagamoyo mjini..hadi kilomo mwisho ukuni.
Kiwe na ukubwa wa kutosha..
Umeme uwepo na kisiwe mbali na barabara, sihitaji dalali..
Kisiwe na mgogoro na hati iwepo.
Bajeti mil 5.
Karibuni.