Na diploma ya marketing hali ni mbaya jamani kazi yoyote nafanya ilimradi nisivunje sheria ya nchi Mwenyekibarua yeyote ani pm hata temporary nakoelekea nahisi kuwa omba omba barabarani
Na diploma ya marketing hali ni mbaya jamani kazi yoyote nafanya ilimradi nisivunje sheria ya nchi Mwenyekibarua yeyote ani pm hata temporary nakoelekea nahisi kuwa omba omba barabarani