Natafuta kazi

Tinnah999

Member
Joined
Dec 19, 2018
Posts
5
Reaction score
0
Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2)
 
Kazi gani unataka, njoo tufungue ufisi ya uwakala wa miamala ya pesa, and will sign the contract
 
GPA yote hiyo ya nini??

Maboss wote kwenye maofisi wana 3.0 Sasa wewe na kiherehere chako una 4.2 unadhani watakupa kazi???.. Ili uwanyang'anye ofisi?
 
Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2)
kama uko tayari na kujiajiri nipm nikupe dili tayari zimefanyiwa research
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…