T Tinnah999 Member Joined Dec 19, 2018 Posts 5 Reaction score 0 Dec 22, 2018 #1 Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2)
Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2)
Lmuro New Member Joined Aug 8, 2018 Posts 2 Reaction score 1 Dec 22, 2018 #2 pambana tu kutafuta usife moyo ndg Tinnah999 said: Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2) Click to expand...
pambana tu kutafuta usife moyo ndg Tinnah999 said: Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2) Click to expand...
E EXPULSION JF-Expert Member Joined Apr 1, 2015 Posts 407 Reaction score 303 Dec 22, 2018 #3 Kazi gani unataka, njoo tufungue ufisi ya uwakala wa miamala ya pesa, and will sign the contract
mpatto JF-Expert Member Joined Apr 28, 2017 Posts 766 Reaction score 1,032 Dec 22, 2018 #4 EXPULSION said: Kazi gani unataka, njoo tufungue ufisi ya uwakala wa miamala ya pesa, and will sign the contract Click to expand... Kivipi mkuu!? Emu dadavua kidogo!!
EXPULSION said: Kazi gani unataka, njoo tufungue ufisi ya uwakala wa miamala ya pesa, and will sign the contract Click to expand... Kivipi mkuu!? Emu dadavua kidogo!!
Sinanjema JF-Expert Member Joined Dec 11, 2017 Posts 286 Reaction score 522 Dec 22, 2018 #5 Msalimie mbigiri cha unoko
moyafricatz JF-Expert Member Joined Nov 27, 2015 Posts 2,905 Reaction score 4,928 Dec 23, 2018 #6 GPA yote hiyo ya nini?? Maboss wote kwenye maofisi wana 3.0 Sasa wewe na kiherehere chako una 4.2 unadhani watakupa kazi???.. Ili uwanyang'anye ofisi?
GPA yote hiyo ya nini?? Maboss wote kwenye maofisi wana 3.0 Sasa wewe na kiherehere chako una 4.2 unadhani watakupa kazi???.. Ili uwanyang'anye ofisi?
J John Elia Member Joined Apr 18, 2014 Posts 87 Reaction score 96 Dec 23, 2018 #7 Tinnah999 said: Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2) Click to expand... kama uko tayari na kujiajiri nipm nikupe dili tayari zimefanyiwa research
Tinnah999 said: Habari wakuu,natafuta kazi,nimesoma takwimu katika chuo kikuu cha Mzumbe degree ya kwanza,GPA yangu ni second upper class(4.2) Click to expand... kama uko tayari na kujiajiri nipm nikupe dili tayari zimefanyiwa research
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,360 Reaction score 21,713 Dec 23, 2018 #8 moyafricatz said: GPA yote hiyo ya nini?? Maboss wote kwenye maofisi wana 3.0 Sasa wewe na kiherehere chako una 4.2 unadhani watakupa kazi???.. Ili uwanyang'anye ofisi? Click to expand... Acha bangi mkuu hhaaaaaa
moyafricatz said: GPA yote hiyo ya nini?? Maboss wote kwenye maofisi wana 3.0 Sasa wewe na kiherehere chako una 4.2 unadhani watakupa kazi???.. Ili uwanyang'anye ofisi? Click to expand... Acha bangi mkuu hhaaaaaa