Natafuta kazi ya udereva

Petro Stalin

Member
Joined
May 4, 2023
Posts
5
Reaction score
6
Habari wakuu,

Mimi ni Mtanzania halisi kwa kuzaliwa nipo Mbeya mjini natafuta kazi ya udereva ambapo uzoefu wangu ni wa magari ya mizigo ( Heavy Duty trucks na normal trucks ) nimeendesha gari kubwa kwenye kampuni ya MAHENGE TIMBER ipo Mbeya-Uyole kwa miaka 3 badae nikahamia SMART TIME LOGISTICS kwa mwaka 1 na nusu.

Mpaka sasa sina gari kutokana na gari niliyokuwa naendesha ilikuwa na matatizo na badae ikauzwa. Mwenye connection na hii ishu basi mawasiliano yangu ni 0629595529
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…