Nipo DSM nina miaka 20 nimesomea microsoft word, powerpoint, excell, publisher, internet nk. Mshahara nataka 150,000/= na mahitaji yote nipate kwa anayeniajili. Napatikana 0757191544.
Nipo DSM nina miaka 20 nimesomea microsoft word, powerpoint, excell, publisher, internet nk. Mshahara nataka 150,000/= na mahitaji yote nipate kwa anayeniajili. Napatikana 0757191544.
Nipo DSM nina miaka 20 nimesomea microsoft word, powerpoint, excell, publisher, internet nk. Mshahara nataka 150,000/= na mahitaji yote nipate kwa anayeniajili. Napatikana 0757191544.
Maanax nimependa sana umevyopost.
Maana wengine kutaja mshahara ni tatizo kweli.Sijaona tatizo kutaja mshahara,maana hata matangazo ya ajira huwa yanawekwa mashahra,sasa kwanini muajiriwa na yeye asiseme na kuweka wazi.
Sasa suala la mahitaji yote upate kwa muajiri,hapo ndio sielewi.
Kula?Kulala?mahitaji ya kibailojia?kindoa? nk
Hembu weka wazi.