nina kampuni, bado haijatengemaa
natafuta it lkn napata shida moja, kupata IT ambaye tutaganga maisha lkn mipango ya mbeleni ni mizur
binafs naelewa san ma IT maofisini. Yyt mwenye ujuzi huo njoo mtaani tujipange. maofisin kuna dhalilisha kiuchumi, utaweza kuishia onbaomba.
mtazamo wa mradi wetu, uhakika wa tenda za kutengeneza kazi za laki sita kila wiki hali ikiwa nzur hadi kazi tatu nne, ni sawa na mil 1.8 kwa mwezi
ni kukomaa na kuzitafuta kazi. ninachoshaur ni kukomaa, na kuvumilia ugumu, bila kufany hvyo, no business.
ma IT, yyt alietayar, anicheki. ni pm