Nimependa uandishi wako, kwamba umesoma kidato cha nne hadi cha sita na academic CV iko vizuri. Yani nimefurahi sana ila japo nimehitimu darasa la 7C, nadhani ulitaka kusema kwamba ulifaulu vizuri ktk mitihani yako ya kidato cha nne na sita. Wenye kazi zao watakusaidia, kuwa mvumilivu.