Natafuta Kazi Sekta ya Kilimo

Joined
Dec 1, 2012
Posts
53
Reaction score
2
Wasalam ndugu zangu! Natafuta kazi za kilimo na ufugaji kama kusimamia mashamba, kutibu mifugo na kazi nyingine zote zinazohusiana na sekta ya kilimo ma ufugaji.
Kwa yeyote mwenye msaada tujulishane humu humu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…