Sawa hamna shida kikubwa kama umeelewa inatosha sio lazima tufanane rafiki...Ungenifundisha namna nzuri ya uandishi kuliko kunidhihaki ingenisaidia kuliko haya uliyoandika...Ila nashukuru kwa kujali
Samahani kwa kukusumbua ndg yangu...Kichwa kikijaa mambo mengi hayo hutokea ila naamini umeelewa hitaji langu kama huwezi kunisaidia usinishutumu kwa kuwa sijafanya kama ulivyotaka.Asante