Hapana sikushauri solanum ufanye kazi yoyote eti ili mradi upate riziki! Hiyo ni hatari sana, ushauri tafuta shughuli yoyote ile YA HALALI, maana ukisema yoyote kuna watu wanatafuta vijana (Punda) wa kubeba unga sasa hiyo ni hatari, wapo wenye magenge ya uhalifu nao wanatafuta vijana.