Natafuta inkubeta.

mfuga kuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2014
Posts
850
Reaction score
662
Habari wandugu,

kwa mdau yeyote ambae ana information ya wapi naweza kupata mashine ya kutotolesha vifaranga(inkubeta)
naomba anijuze, napendelea zaidi za mitumba.
 
Ni pm faster mkuu uje uchukue kitu cha manual from german kama upo dar
 
Nipim Nikupe Number. Jamaa yangu anazisuka hizo
 
Nime ku pm mkuu uje uchukue mtumba from German.bei rahisi utafurah mwenyewe.
 
Habari wandugu,

kwa mdau yeyote ambae ana information ya wapi naweza kupata mashine ya kutotolesha vifaranga(inkubeta)
naomba anijuze, napendelea zaidi za mitumba.

Karibu ununue ninayo moja safi sana na bei nzuri, Ni full automatic
Tuwasiliane zaidi
 
Nashukuru sana lkn hizi za made in tanzania nimezitumia sana huwa zinaharibika haribika sana.
 
Nime ku pm mkuu uje uchukue mtumba from German.bei rahisi utafurah mwenyewe.
 
Habari wandugu,

kwa mdau yeyote ambae ana information ya wapi naweza kupata mashine ya kutotolesha vifaranga(inkubeta)
naomba anijuze, napendelea zaidi za mitumba.

Nenda pale Ubungo Business Park (Millenium Business Park) Opp na Shekilango road traffic light, Ulizia kampuni inaitwa 'Poly machinery Co' Utpata hapo Mashine za kutota vifaranga kuanzia vifaraga 88, 264, 352, 880, 1056, 2112 na 3168kubwa kabisa.

Ukiwa na swali lingine sema,

JM
 
Nashukuru sana lkn hizi za made in tanzania nimezitumia sana huwa zinaharibika haribika sana.
Hizi za hapa Tanzania ni nzuri pia ila inategemea na fundi, Ninayo moja ya hapa Tz ni nzuri nilitaka kuuza ila nimegahiri maana utendaji wake ni mzuri
 
Mpigie huyu mtu anazo za uhakika. Mm nilinunua kwake sijajuta kwa kwel. 0784944770
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…