Nimekuelewa mdau. Mimi ninalo japo sipo tayari kuliuza kwa sasa. Ina namba D lakini ina soma KM 139000. Nimenunua hapa TZ akiwa na namba ambazo si stahili kwa nazo. Nimebadilisha sasa ni DNK. . Bilashaka wewe ni mtalaam wa magari ndo maana huna shaka na hilo. Lakini ni faida kwa wengine.