Natafuta Gari

Ellie

Senior Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
123
Reaction score
15
wakuu ningependa kujuzwa kama naweza pata Gari aina ya starlet kwa bei rahisi,used kwa mtu but in good condition.
 
be more specific,uko wapi?wats ur budget,n soso so.
 
Nipo Dar so specifications ni kwamba nahitaj starlet ya Tsh 4m, 1.3cc in good condition.Thats all...!
 
Nipo Dar so specifications ni kwamba nahitaj starlet ya Tsh 4m, 1.3cc in good condition.Thats all...!

nipe contact zako hasa mail adress na jina kamili nikuunganishe na jaama yangu yupo japan upati gari safi!!!mi pia nipo hukuhuku yanakotoka!!
 
nipe contact zako hasa mail adress na jina kamili nikuunganishe na jaama yangu yupo japan upati gari safi!!!mi pia nipo hukuhuku yanakotoka!!

kamanda ellie kuwa makini na hao watu wanaodai wana washikaji wako japan, mie nimelizwa dola 2970 tangu mwezi wa tano mwaka huu, na jamaa wa Impreza Used Cars 41export.com. Angalia kuna wabongo wako huko japan maisha yemewashinda sasa wanaamua kuwaibia wabongo wenzao wa huku TZ. watch out man
 

Please give us the story. ukiulizia unapewa majibu gani?
 
Please give us the story. ukiulizia unapewa majibu gani?

mara ya kwanza waliniambia wamehsa lipakia melini kwamba mwezi wa sita ningelipata.......aka mute hadi mwezi wa 8 akadai shipping company hawakumwambia kuwa gari haikusafirishwa........, baadae akadai tar 25 mwezi wa 8 wameconfirm lingesafirishwa rasmi.........aka mute tena nilipoulizia....... huyo mjapani akaniunganisha kwa mbongo anayefanya kazi hapo........na hapo sasa mbongo kwa mbongo....ndo pamekuwa panono..........jamaa akaniambia lazima ntaipata atajitahidi lakini sasa hivi huyo mbongo naye anadai hajui ifanyaje kwani kila akimuuliza huyo mjapan jamaa anamwambia watalisafirisha.........kama una ndugu mwambie hiyo company haifai.....sasa hivi akiona mail inaulizia gari from TZ anamuunganisha huyo mtz na Mtz wa pale.
 
kampuni reliable ni beforward, ukiagza gari unalala usingizi kwa amani, kitu lazima kitinge bongo bila kwere
 
kmapuni reliable ni beforward, ukiagza gari unalala usingizi kwa amani, kitu lazima kitinge bongo bila kwere

pole sana kaka. hata tradecarview hizi kampuni ni reliable

1. Yanagisawa.
2. Real Motor Japan
3. Helios trading
4. ecohironaka
5. i.s trading- ila hawa wanachelewesha sana katika ku ship gari na mawasiliano yao sio mazuri ila ni waaminifu
6.Mukarama
7.mrc corporation

Nyingine nimesahau zote hizi nishawahi kufanya nazo Biashara
 
Ongezea Royal trading, Lucus japan direct not Dar or Kenya offices, JCM. wote hao nimedeal now vizuri bila hofu na magari yalifika

 
ili uwe salama nunua magari yaliyosajiliwa pay trade buyer protection malipo yako yatakuwa salama unalipia kiasi kdg
 
Yes nataka kuagiza kutumia Trade car view, but i need to knw charges za bandarini
 
charges za bandari hapa dar au ,
endapo ni ushuru fungua web ya tra (www.tra.go.tz)
download calculator for used motor vihicles na CRSP
tafuta bei ya gari kwenye crsp utapate bei ya gari hilo likiwa jipya ,
fungua calculator ingiza ex/rate fuata maelekezo wametofautisha gari kutokana na cc utapata gharama za ushuru kabla ya kugiza gari
 
Thanx 19don.
 
nipe contact zako hasa mail adress na jina kamili nikuunganishe na jaama yangu yupo japan upati gari safi!!!mi pia nipo hukuhuku yanakotoka!!

Mtoa mada hataki mambo ya Japani. Anataka nipe nikupe. Vp kuhusu usalama wa hela yake?
 
kuna kampuni inaitwa "TRUST"Japanese vehicles.wana magari mazuri sana na hawacheleweshi>mie niliagiza RAV4 ilikuja bomba vibaya.yaani mpya.halafu tarehe waliyoniambia itafika,ilifika siku hiyohiyo.kuna mtu alini mislead kuniambia meli ilikua inashusha mzigo mombasa ndio ije bongo,matokeo yake nikaja jua gari ilikua imeishafika siku nne zilizopita.Na wamepata sana soko tz siku hizi.Ukiwa Dar siku hizi utaona gari nyingi zina wheelcovers zenye nembo zao.
 
have toyota Duet- fuel consumption 10km to 1 litr approx.
Price- 5.5m
PM if interested!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…