May five
Member
- Jun 16, 2017
- 20
- 8
Mkuu, hilo litakuwa mfano wa gari, itakubidi uwe na namba za simu za mafundi wengiii, kila siku uwe na salio la kumwita fundi home, halafu litakufanya uchelewe kazini mkuu.
Acheni kukatisha watu tamaa Mimi nimenunua Gari kwa million 2•5 na walikuja watu na hoja kma zako mwaka Wa pili huu nshasahau garage daladala na kelele zenu bodaboda maisha yanasongaMkuu, hilo litakuwa mfano wa gari, itakubidi uwe na namba za simu za mafundi wengiii, kila siku uwe na salio la kumwita fundi home, halafu litakufanya uchelewe kazini mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app

Ha ha ha ha ha ha ha haMi nasubiri Noah yangu, maana upepo nao haueleweki mara unavuma kwenda kusini, mara kaskazini, mara mashariki, yaani taabu tupu.
Ghafla nasikia Bombadier imewekwa selo, daahh!!
Majanga tena hayo.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
anaweza kupata passo safi tu au mark ii grande kwa hela hiyo million 5 siyo pesa ndogo kwa gari kama unavyofikiria inategemea unataka gari gani kwahiyo budgetMkuu, hilo litakuwa mfano wa gari, itakubidi uwe na namba za simu za mafundi wengiii, kila siku uwe na salio la kumwita fundi home, halafu litakufanya uchelewe kazini mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa angu kachukua gari kwa 4.8M.Mkuu, hilo litakuwa mfano wa gari, itakubidi uwe na namba za simu za mafundi wengiii, kila siku uwe na salio la kumwita fundi home, halafu litakufanya uchelewe kazini mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
picha tafadhalikama bado hujapata nione. nina passo old model cc 1290, piston nne. namba D.
Mkuu wasikutishe nimenunua gx 110 Kwa million 4.5 ni mwezi wa tatu sijawahi enda garage
Tuko pamoja. Ngoja tuvumilie.....Mi nasubiri Noah yangu, maana upepo nao haueleweki mara unavuma kwenda kusini, mara kaskazini, mara mashariki, yaani taabu tupu.
Ghafla nasikia Bombadier imewekwa selo, daahh!!
Majanga tena hayo.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
gari ya aina gani hiyo mkuu?Acheni kukatisha watu tamaa Mimi nimenunua Gari kwa million 2•5 na walikuja watu na hoja kma zako mwaka Wa pili huu nshasahau garage daladala na kelele zenu bodaboda maisha yanasonga
Sent using Jamii Forums mobile app
bei ya mwisho ngapi?