T the ox Member Feb 20, 2014 40 29 Jul 12, 2015 #1 Mwenye gari aina ya toyota allex au runx isiwe nyeusi au nyeupe with low milleage iwe mpya ambayo haijatumika hapa bongo, nipo Mwanza:OFFER:9.5M
Mwenye gari aina ya toyota allex au runx isiwe nyeusi au nyeupe with low milleage iwe mpya ambayo haijatumika hapa bongo, nipo Mwanza:OFFER:9.5M
englibertm JF-Expert Member May 1, 2009 9,252 6,207 Jul 12, 2015 #2 the ox said: mwenye gari aina ya toyota allex au runx isiwe nyeusi au nyeupe with low milleage iwe mpya ambayo haijatumika hapa bongo .,nipo mwanza: OFFER:9.5M Click to expand... Nenda yard nimekuta 12m
the ox said: mwenye gari aina ya toyota allex au runx isiwe nyeusi au nyeupe with low milleage iwe mpya ambayo haijatumika hapa bongo .,nipo mwanza: OFFER:9.5M Click to expand... Nenda yard nimekuta 12m
QUALITY CARS JF-Expert Member Jan 27, 2015 515 238 Jul 14, 2015 #3 Usiamini mileage hata siku moja !!!! Km huwa zinapunguzwa !!! Angalia body na engine tu !!!! Ushauri wa bure
Usiamini mileage hata siku moja !!!! Km huwa zinapunguzwa !!! Angalia body na engine tu !!!! Ushauri wa bure
Focus120 JF-Expert Member Nov 10, 2014 1,091 789 Jul 14, 2015 #4 Ogopa magari kutoka mkononi mwa mtu.. Si yote yanafaa kwa matumizi
T the ox Member Feb 20, 2014 40 29 Jul 15, 2015 Thread starter #5 ahsante kwa ushauri wenu.., wapi mkuu englibertm nikabargain..
peterlvitalis92 Member Jul 15, 2015 52 10 Jul 16, 2015 #6 mmh take care ila ungeongeza uingie show room
englibertm JF-Expert Member May 1, 2009 9,252 6,207 Jul 16, 2015 #7 the ox said: ahsante kwa ushauri wenu.., wapi mkuu englibertm nikabargain.. Click to expand... kuna yard imepakana na SUPERMARKERT ya NAKUMATI ile ya KAMATA ipo pale
the ox said: ahsante kwa ushauri wenu.., wapi mkuu englibertm nikabargain.. Click to expand... kuna yard imepakana na SUPERMARKERT ya NAKUMATI ile ya KAMATA ipo pale
T the ox Member Feb 20, 2014 40 29 Jul 16, 2015 Thread starter #9 nawashukuru great thinkers kwa ushauri wenu..,pamoja..!!
Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,482 6,450 Jul 17, 2015 #10 englibertm said: kuna yard imepakana na SUPERMARKERT ya NAKUMATI ile ya KAMATA ipo pale Click to expand... sawa sawa kariakoo
englibertm said: kuna yard imepakana na SUPERMARKERT ya NAKUMATI ile ya KAMATA ipo pale Click to expand... sawa sawa kariakoo
Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,482 6,450 Jul 17, 2015 #11 curia said: Ongeza pesa kidogo agiza japan hutajuta. Click to expand... dollar haikamatiki bora achukue yard
curia said: Ongeza pesa kidogo agiza japan hutajuta. Click to expand... dollar haikamatiki bora achukue yard