Natafuta fundi wa kushona nguo

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,684
Namtafuta Fundi Mzuriii Anaejua Kushona Nguo kwa Design nitakayo mpatia mimi! Nguo za Kiume!

Awe Dar, Mwaminifu, Na Mtu atakae fanya kazi Kwa wakati tutakao Kubaliana!

Nitumie Whatsapp Number yako PM.

Hiyo Ni moja Ya design nayoitaka kushonewa lakini sio kitambaa hicho

Kama Kuna Fundi PM please
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…